Tuesday 17 May 2016

KIJIPU UPELE BARABARA YA MABASI YAENDAYO KASI

Barabara hii ilitengw akwa ajili ya haya mabasi ya Mradi wa Mabasi yaendayo kasi, lakini wananchi wengine bado wamekuwa wakaidi kutii amri ya kutotumia barabara hii kama wanavyoonekana katika picha

No comments:

Post a Comment

Maoni yako