Saturday 1 November 2014

VITUKO VYA TEKNOLOJIA

Wakati binadamu wanajitahidi kwenda na wakati kwa kubuni vifaa vinavyorahisisha kazi, kwa wengine bado ni tabu tupu. Ni muhimu kujitahidi kujifunza mambo mengi yanayoletwa na maendeleo ya ubunifu ila kwenda sambamba. Angalisho: " Mwelekeze namna ya kutumia vifaa hivi na sio kumcheka, sio asili yake"
Ila kikikamilika na kuletwa mezani mate yanakutoka, hujui alipata tabu kiasi gani huko jikoni.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako