Tuesday 4 November 2014

KWAKO NI CHAKULA, KWA MWENZIO NI KITENDEA KAZI

Imefahamika kuwa, walimu wa shule moja huko Biharamulo,Kagera wanatumia mihongo kuandikia ubaoni kufuatia uhaba wa chaki katika shule hiyo. Shule hiyo ambayo ipo katika maeneo ya jamii ya wafugaji inasemekani ilianzishwa kinyemela bila kusajiliwa. Lakini tunachojiuliza, kama watu wamejitolea kuanzisha shule kwa lengo la kufuta ujinga, kwanini serikali nayo isiwaangalie na kuwasaidia pale panapopungua???

No comments:

Post a Comment

Maoni yako