Saturday 1 November 2014

FURAHA YA MV.MAFANIKIO MKOANI MTWARA

Kwa muda mrefu wananchi wa mwambao wa Mtwara kuunganisha MsangaMkuu na Mtwara Mnjini walikuwa wakipata adha ya usafiri. Mitumbwi ndio ilokuwa yatumika kuvusha watu na mizigo.
Ila serikali imetimiza ahadi yake wa kuwaletea wananchi kivuko kipya na hivi karibuni kivuko hicho kimewasili. Furaha kwa wana Mtwara.
Ila kwa wengine sehemu nyingine za nchi usafiri wao ni huu.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako