Friday 7 November 2014

KWA WATUMIAJI WA WHATSAPP

Whatsapp imefanya mabadiliko kidogo katika upande wa ujumbe mfupi ili kuweka mambo wazi zaidi. Kuanzia sasa:
1. Unapotuma ujumbe utaona tick moja ya kijivu kuonyesha message imeenda
2. Kisha utaona tick mbili za kijibu kuonyesha ujumbe umemfikia mlengwa
3. Baadae utaona tick mbili za Bluu kuonyesha ujumbe ulotumwa umesomwa na mlengwa.

Hii yote ni kuondoa ile kwa sijapata message yako na visingizio kama hivyo.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako