Friday 7 November 2014

KITENDAWILI CHA MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA KINAPOKOSA MAJIBU....

Kwakweli makazi ya baadhi ya ndugu zetu hayaakisi hata kidogo msemo wa "Maisha Bora kwa Kila Mtanzania"
Kivuko hiki cha MV.KILOMBERO kilikwama jana kwa takribani saa 6 huku abiria wasijue la kufanya. Katika nchi zilizoendelea na kujali sana watu kwa uwiano, tayari ungekuta kuna boti ndo za kusaidia watu hawa na mizigo. Pengine tuvute subira, wakati mwafaka bado haujawadia.
Na wanafunzi hawa wa Shule ya Msingi Kawanzige huko Mpanda, ndivyo wanavyosoma wakiwa wamekaa sakafuni darasani. Wewe kama mkuu wa kitengo kinachohusika na elimu unapokalia sofa unajisikiaje uonapo watoto hawa???

No comments:

Post a Comment

Maoni yako