Kuishi kijijini inabidi uwe mvumilivu...
😬
Unaenda kuoga unakumbuka umesahau sabuni unaenda kuchukua,unafika bafuni unakuta ng'ombe amekunywa Maji yote😄
Unaenda kuchukua mengine ile kurudi bafuni unakuta mbuzi amekula sabuni yako ya kipande ya Mbuni.
😂😂😂😂
Unachukua maji mengine unaamua uoge tu bila sabuni,kumaliza tu unakuta mbwa kabeba taulo hapo sasa watu wote wameshaenda shambani kazi ipo.
Monday, 2 January 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
Maoni yako