Imetokea hivi karibuni kuwa kama fashion,kina dada kuhangaika kuwa na mahusiano na wanaume waliojengeka miili yao,kitaalam tunawaita "six packs". Hali hii inaumiza wengine wanaohangaika kujenga hayo maumbile.
Angalisho; SIO KILA MWENYE SIX PACKS anafaa kuwa mume au baba bora, wengine wamejenga hayo ili kutumia kwenye ukabaji,wizi wa nguvu......
PROF MKENDA ATINGA BUNGENI, LEO NI BAJETI YA HISTORIA
40 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako