Tuesday 3 January 2017

MADAWA YA KULEVYA SIO UJANJA NI MAJANGA

Nando ni kijana aliyeshiriki big brother mwaka 2013, kama mwakilishi wa Tanzania, kutokana na hali ngumu ya maisha kijana huyu alijidumbukiza kwenye janga kubwa la matumizi ya madawa ya kulevya Kwa sasa hali ya Afya ya Nando si nzuri imezorota kutoakana na matumizi ya madawa ya kulevya yaliyokithiri. Hii iwe kama kengele kwa vijana wa kisasa kuwa dawa za kulevya sio “ujanja” ni majanga
Wakati huo huo hali ya mwanamuziki Chid Benzi nayo imerudia kuwa mbaya baada ya kusemekana amerudia kutumia madawa ya kulevya hata baada ya kuwa katika kituo cha REHABILITATION huko Bagamoyo

No comments:

Post a Comment

Maoni yako