Tuesday 12 March 2013

KANISA KATOLIKI-UCHAGUZI WA PAPA MPYA

Leo Makardinali zaidi ya 112 baada ya sala katika kanisa la St.Peter's Basilica huko Vatican Rome, wameingia kwenye chumba cha siri cha mikutano kinachojulikana kama @CONCLAVE@ kwa ajili ya kusali na kupiga kura za siri sana ili kumchagua Papa atakayechukua nafasi ya Papa Benedict XVI ambaye alijiuzulu 28 Februari  kwa sababu za uzee na kiafya. Papa atakayechaguliwa ni wa 266.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako