Tuesday 5 March 2013

INATIA HURUMA

Wakati kila mmoja anajaribu kupambana kutafuta unafuu wa maisha, tunapaswa kwa wakati huo kuangalia wale ambao bado hawajiwezi kujitafutia wenyewe kama watoto hawa. nani anasikia kilio chao. Kilio hiki kinatokana na mambo mengi ya kimaisha, pengine ni ukosefu wa lishe, makazi, vita, ugomvi baina ya wazazi na mengine kama hayo. Ni wakati ambapo Serikali na watu husika waangalie hili maana inatia huruma.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako