Friday 19 October 2012

TUIGE LAKINI..........

Kwa sasa nchi yetu ya Tanzania ipo katika mchakato wa kupigia kura baadhi ya vivutio vilivyopo nchini(Serengeti, Ngorongoro, Mlima kilimanjaro, fukwe za zanzibar, mapango ya Amboni n.k.), ila walau kimojawapo kiingizwe katika orodha ya maajabu ya Dunia. Tuangalie na hiki kisijekuwa mojawapo ya maajabu.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako