Friday 19 October 2012

NILIJUA UTACHEKA!


Jamaa watatu walikodi hoteli yenye gorofa 60, wao wakapata gorofa ya mwisho kabisa. Wakapanda kwa lifti na asubuhi wakashuka kwa lifti. Jioni waliporudi wakakuta umeme umekatika.
Wakakubaliana wapande ngazi kwa story. Wa kwanza akapiga story za kutisha kuanzia gorofa ya 1 mpaka ya 20, wapili akapiga strory za kuchekesha kuanzia gorofa ya 21-40 na watatu akandamiza story za kuhuzunisha kuanzia gorofa ya 41-60. Walipofika ya 59 yule watatu akasema hii ndio ya kuhuzunisha zaidi...TUMESAHAU KUCHUKUA FUNGUO PALE MAPOKEZI.

Hapa jamaa kaona kawin kweli kweli, kumbe hasara za kukumbia umande......soma kaka soma

No comments:

Post a Comment

Maoni yako