Friday 19 October 2012

KARIAKOO HALI SI SHWARI





Habari za hivi punde zinadai kuwa kuna hali mbaya katika maeneo ya Kariakoo jijini Dar e Salaam ambapo polisi wanapiga mabomu ya machozi kutawanya waislam wanaoandamana.
Kwa mujibu wa watu waliopo kwenye maeneo hayo maduka mengi yanafungwa na watu wanajifungia kwenye maduka hayo. Ingia hapa kwa taarifa zaidi:http://www.bongo5.com/breaking-kariakoo-pachafuka-mabomu-yanapigwa-kila-kona-10-2012/

No comments:

Post a Comment

Maoni yako