Friday 30 January 2015

VITUKO VYA WADADA WA KAZI

Wazazi ni muhimu kuwa makini sana na hawa wasaidizi. Utakuwa unashangaa mwanao kila siku malaria na net ulinunua. Mwezio dada wa kazi ndo anaitumia
Halafu usishangae hali hii inaweza kupelekea mambo kama haya kutokea kwa watoto

2 comments:

Maoni yako