Wednesday 28 January 2015

DHARAU NYINGINE JAMANI UUUH......

TUJIFUNZE KUMUHESHIMU KILA MTU HATA KAMA UNA MALI NYINGI KIASI GANI IPO SIKU NA WEWE UTAKOSA -
Wadau tukumbuke hali ya maisha huweza kubadilika wakati wowote.
Leo waweza kuwa tajiri lakini kesho ukawa masikini.Endapo unaamini hayo yanaweza tokea wakati wowote, basi huna budi kumuheshimu yule asiye nacho,au aliye na kidogo kuliko wewe kwasababu wakati wowote unaweza ukawa katika hali aliyonayo mwenzako
(Picha maeneo fulani Kariakoo Dar)

No comments:

Post a Comment

Maoni yako