Saturday 23 August 2014

UONGOZI WAHITAJI FADHILA NYINGI MOJAWAPO UNYENYEKEVU

Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete akipanda Treni ya Tazara kuelekea Kisaki Morogoro katika moja ya ziara zake hivi Karibuni.
Waziri Mkuu wa Uingereza mhe.David Cameroon akiwa anasafiri katika moja ya viunga vya London alipanda treni.Hata hivyo hakupata nafasi ya kukaa.Hakuona tabu kusimama pembeni huku akijisomea gazeti lake badala ya kuwabughudhi wananchi wampishe akae au kutumia gari na ving'ora kupisha njia
Pope Francis 1 akiwa kwenye bus katika moja ya viunga vya Vatican City

No comments:

Post a Comment

Maoni yako