Saturday 2 August 2014

EBOLA NA UKIMWI

Wakati ulimwengu bado unahangaika kutafuta tiba ya ugonjwa wa Ukimwi,sasa nayo Ebola yaibuka upya. Tunachojiuliza ni kuwa hivi kweli ni mtu alikaa kabisa akatengeneza hivi virus vya Ebola na Ukimwi kama sisi tunavyotengeneza vitumbua au maandazi kwaajili ya chai? Maana janga la Bomu la Atomic kule Nagasaki na Hiroshima Japani mpaka leo watu wanaathirika.Na bomu hili lilitengenezwa na binadamu kama sisi kwa hisia zake mwenyewe kuangamiza.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako