Thursday 28 August 2014

RONALDO WANASOKA BORA WA ULAYA

Cristiano Ronaldo anachukua ubingwa wa Mwanasoka bora wa Ulaya akiwapiku washindani wenzake Manuel Neuer (Golikipa wa Ujerumani)na Robben wa Uholanzi. Amekabidhiwa ushindi huu jana huko Monaco Ufaransa

No comments:

Post a Comment

Maoni yako