Hii inanikumbusha msemo "Punda afe mzigo ufike", Ni kweli tunapaswa kujitahidi kutafuta, lakini ni kwa namna gani tunatafuta na tunanufaika vipi na utafutaji huo. Mwisho wa siku upakiaji huu wa bidhaa hii kwenye hili gari wahatarisha maisha na uharibifu zaidi kuliko faida ipatikanayo.
BASATA Yashukuru DCEA kwa Kurejesha Afya ya Chid Benz
32 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako