Sunday 2 December 2012

ASUBUHI NJEMA

Mwaka unapokaribia ukingoni tunalazimika kutathmini mafanikio na vikwazo vya maendelea. Lakini kwakuwa bado tuna mwezi mmoja si vibaya kujitahidi pale ambapo bado juhudi haijawa ya kutosha.

1 comment:

Maoni yako