Jana tulikuwa tunaadhimisha siku ya Ukimwi Duniani, nikamwona huyu jamaa yangu na kujiuliza kama hii ndo gear ya kuzuia maambukizi, basi hapa atakuwa mbali na ukweli au unasemaje mdau. Samahani kwa picha hii kama itakukwaza lakini ni kufikisha ujumbe tu.
BASATA Yashukuru DCEA kwa Kurejesha Afya ya Chid Benz
31 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako