Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja nilishindwa kuwaletea habari na burudani kupitia blog yenu ya KARIBU NYUMBANI kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu. Nawashukuru kwa uvumilivu wenu na karibuni tena nyumbani.
T U L I K O T O K A N I M B A L I
BASATA Yashukuru DCEA kwa Kurejesha Afya ya Chid Benz
33 minutes ago
Ni furaha umerudi nawe karibu tena
ReplyDelete