Saturday 19 September 2009

SAFARINI

Kumradhi wadau, nilipata safari ya ghafla kuelekea Kijijini kwa Bibi na Babu kuhani msiba wa Baba yangu mzazi, na mtandao huku hakuna kabisa. Muda mfupi ujao nitarudi na kuwaletea yaliyojiri.
Salaam kutoka Kijijini

7 comments:

Maoni yako