Tazama msaada huu wa viatu waopewa hawa watoto.
Friday, 17 July 2015
Wednesday, 15 July 2015
Tuesday, 14 July 2015
Monday, 13 July 2015
Sunday, 12 July 2015
CHADEMA NAO SIO HABA BAADA YA CCM KUFUNGUA UKUMBI MPYA
Pichani chini Mwenyekiti wa CCM Taifa Mhe.Rais Jakaya Kikwete akifunga Mkutano Mkuu wa CCM ulopitisha jina la mgombea urais kwa Tiketi ya CCM mhe. John Magufuli
Rais Kikwete akiwa na Mgombea Urais Mhe. John Magufuli na Mgombea mwenza Mhe.Samia Suluhu Hasan
(Picha kwa Hisani ya Michuzi Blog)
Rais Kikwete akiwa na Mgombea Urais Mhe. John Magufuli na Mgombea mwenza Mhe.Samia Suluhu Hasan
(Picha kwa Hisani ya Michuzi Blog)
MAGUFULI HOYEEEE
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha Dk. John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais kupitia chama hicho. Katika Mkutano Mkuu uliofanyika usiku wa kuamkia leo mjini Dodoma, Dk. Magufuli amechaguliwa kwa kura 1560 akifuatiwa na Asha-Rose Migiro aliyepata kura 702 huku Balozi Amina Salum Ali akipata kura 349
Mhe. Magufuli akimtambulisha Mgombea Mwenza Samia Suluhu Hassan
Mhe. Magufuli akimtambulisha Mgombea Mwenza Samia Suluhu Hassan
Saturday, 11 July 2015
Subscribe to:
Posts (Atom)