Friday 8 April 2011

MAMBO YA LOLIONDO

Baada ya Babu Ambilikile kuendelea kutoa tiba kwa kutumia kikombe kimoja cha maji wameanza kuzuka watu wengine katika sehemu mbalimbali za TZ wakidai nao wamepewa maono ya kutibu watu kwa kutumia dawa kama afanyavyo babu. Je tumwamini yupi?

2 comments:

  1. Kwa kuwa hata ya BABU WA LOLIONDO inategemea imani ya MTU,.....

    ...kila mtu anaaminika!

    Ila bonge la dili hili halafu mtaji mdogo!

    ReplyDelete
  2. Duuh mkuu umepotelea huko huko Loliondo?

    ReplyDelete

Maoni yako