Kwa wiki nzima sasa maeneo mengi hasa jijini Dar kumekuwa na mvua ilosababisha adha nyingi za maji kufurika. Ila leo jua limewaka hata ukiona watu wamejikinga kwa mwavuli sio sababu ya mvua bali jua limekuwa kali
BENKI YA STANBIC YACHANGIA MADAWATI MKOANI MBEYA
36 minutes ago

.jpg)
No comments:
Post a Comment
Maoni yako