Watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wamevamia Benki ya NMB tawi la Bigbon Sinza Mori na kuiba, ila katika kutaka kuondoka kuelekea kwenye gariu lao wakadakwa na kuwekwa chini ya ulinzi. Hapa ndo ule msemo wa 'Za mwizi arobaini' umetimia kwao.
WRRB YAJA NA UBUNIFU KWENYE ZAO LA PARACHICHI
6 hours ago
.jpg)

No comments:
Post a Comment
Maoni yako