Kumradhi wadau, nilipata safari ya ghafla kuelekea Kijijini kwa Bibi na Babu kuhani msiba wa Baba yangu mzazi, na mtandao huku hakuna kabisa. Muda mfupi ujao nitarudi na kuwaletea yaliyojiri.
Salaam kutoka Kijijini
KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO
3 minutes ago



