Terminal 3 ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere unaendelea kujengwa na awamu ya kwanzan inatarajiwa kukamilika Juni 2016. Naibu Katibu Mtendaji Ofisi ya Rais Tume ya Mipango ndg Florance Mwanri alitembelea leo kujionea hali ilivyo na kutoa ushauri wa uboreshaji zaidi
KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO
6 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako