Leo tena madreva wa vyombo mbalimbali vya abiria wamegoma kusafirisha abiria wakitaka matakwa yao yatekelezwe.
Abiria wengi wakiwemo wanafunzi hasa katika Jiji la Dar es Salaam wamelazimika kutembea kwa miguu umbali mrefu kufika maeneo lengwa
KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO
11 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako