Chopa ya CCM iliyokuwa imembeba mhe.Deo Filikunjombe kutokea Dar kwenda Ludewa, jana jioni ilianguka katika Hifadhi ya Selous na leo Meya Jerry Silaa ameandika kwa masikitiko kuwa Baba yake ambaye ndio alikuwa Rubani wa hiyo Chopa pamoja na abiria wengine akiwepo Mbunge Deo wamefariki dunia. Hili ni pigo kubwa.
Taswira za kuhuzunisha kutoka eneo la tukio
KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO
10 minutes ago






No comments:
Post a Comment
Maoni yako