VIDEO: Lowassa alivyosema akiwa CCM
Marais Uhuru Kenyatta (Kenya) na Jakaya Kikwete (Tanzania) leo wamezindua rasmi ujenzi wa Barabara ya lami kutoka Arusha hadi Mpaka wa Holili (Mkoani Kilimanjaro) kwa upande wa Tanzania na Taveta hadi Voi (nchini Kenya)
Ujenzi wa barabara hii na nyingine ni sehemu ya Mpango wa Uendelezaji wa Mtandao wa barabara za Afrika Mashariki (The East African Road Network Project - EARNP) ambao Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki waliuandaa
CTA NA FAWETZ WAWAJENGEA UWEZO WATOTO WA KIKE TANZANIA
53 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako