Ikiwa imesalia siku moja kabla ya uchaguzi,jana CCM ilifanya mkutano mkubwa wa kapeni Jangwani Dar na leo hivi Dk magufuli atakuwa Kirumba Mwanza
Mke wa Rais mama Salma Kikwete akiteta jambo na mke wa Mgombea urais CCM Mama Janeth magufuli katika Viwanja vya Jangwani Jijini dar
WATUHUMIWA WANNE WAKAMATWA NA MADINI YA VITO MAHENGE
20 minutes ago




No comments:
Post a Comment
Maoni yako