Kwasasa mawazo ya wengi yamejikita kwenye uchaguzi mkuu 2015. Wengine wanafika hata kuweka uhasama usio na hoja juu ya wagombea na vyama vyao.Ila tunapaswa kujua kuna maisha baada ya uchaguzi ambapo aloshinda ndo kashinda na maisha lazima yaendelee. Tukitambua hilo tutajua tunaenda kuijenga Tanzania yetu inayojali udugu, basi tuudumishe hata katika kipindi hiki cha kampeni.
BENKI YA STANBIC YACHANGIA MADAWATI MKOANI MBEYA
35 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako