Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Baadhi ya watu wamekuwa wakiikashfu serikali ya CCM kwamba hakuna lolote ililofanya katika kupunguza makali ya maisha kwa wananchi. Je Daraja hili sio kitu kwa wananchi wa Kanda ya Magharibi na watanzania kwa ujumla?
KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO
10 minutes ago


No comments:
Post a Comment
Maoni yako