Hapa wananchi wanaitikia "MABADILIKOOOO....LOWASSAAAA, LOWASAAAA....MABADILIKO"
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akihutubia wananchi Bukoba waliofika kwenye Mkutano wa Kampeni, kusikiliza sera zake, uliofanyika kwenye Uwanja wa AghaKhan, Mjini Bukoba, Mkoani Kagera leo Septemba 19, 2015.
BENKI YA STANBIC YACHANGIA MADAWATI MKOANI MBEYA
42 minutes ago



No comments:
Post a Comment
Maoni yako