Wakati mwingine akipiga usingizi tena kazini na silaha imekaa kihatari, wengine wanaendelea kujituma vilivyo. Mungu abariki juhudi za kila anayejitahidi na wewe unayelala usingizi katika eneo la kazi tambua familia na jamii inakuhitaji. Wajibika!
CTA NA FAWETZ WAWAJENGEA UWEZO WATOTO WA KIKE TANZANIA
50 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako