Pamoja na kwamba usalama wa mama huyu upo hatarini lakini anajituma hivyo hivyo ili walau mwisho wa siku apate chochote cha kujikimu
Mjasiriamali huyu wa asili ya Kimasaai anaonekana akiuza sarafu za zamani ambazo kwa sasa hazitumiki kama pesa halali. Kadiri ya mfanyabiashara huyo,pesa hico zinaweza tumika kama dawa ya kichwa tumbo na hata kuzuia mimba kuharibika. Haya yote ni katika kujiwajibisha ili kujikimu kimaisha.
CTA NA FAWETZ WAWAJENGEA UWEZO WATOTO WA KIKE TANZANIA
48 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako