Basi la Kampuni ya Dar Express T580CEP limepata ajali leo majira ya saa nne asubuhi maeneo ya Wami. Lilikuwa likitokea Dar es Salaam kuelekea Nairobi kupitia Moshi na Arusha. Abiria wengi wamenusurika japo wapo majeruhi wachache. Tuwaombee wapate nafuu mapema.
CTA NA FAWETZ WAWAJENGEA UWEZO WATOTO WA KIKE TANZANIA
48 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako