Hizi taka zipo pembezoni mwa barabara kuu ambapo pia kwa mbali pale wanaonekana wachuuzi wa biashara ya chakula maarufu kama "Mama Ntilie". Ila hii sio salama kwa afya. Mamlaka husika ni vema kutupia macho jambo hilo.
Kutokana na mvua zinazoendela kunyesha nchini, barabara ya Dar es Salaam / Mtwara imekuwa kero sana. Ni kilio cha wananchi kuweza kujengewe barabara hii yote kwa kiwango cha lami kuepusha usumbufu kama huu.
KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO
9 minutes ago



No comments:
Post a Comment
Maoni yako