Wakati mwingine tunakuwa watumwa wa mali zetu wenyewe na hata kuwa wachoyo kimatumizi na hivyo kujikuta tunachelewesha maendeleo. Unapokuwa nacho tumia ipasavyo japo kwa uangalifu lakini sio kuwa mchoyo na kutojiamini hivi. Kujiamini kunaanza kwako na pia kunaelekea kwa wengine. Kukosekana kwa uaminifu ni kero kubwa kwa jamii na huanza hivi hivi kwa mambo madogo kama haya. Simu tu unaiwekea kofuli,ingekuwa bastola....
CTA NA FAWETZ WAWAJENGEA UWEZO WATOTO WA KIKE TANZANIA
47 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako