Mtayarishaji na Mwongozaji mahiri wa filamu hapa Bongo,Adam Kuambiana anaagwa leo katika Viwanja vya Leaders jijini Dar na baadae kuzikwa katika makaburi ya Kinondoni. Mungu ailaze pema roho yake.Amen
CTA NA FAWETZ WAWAJENGEA UWEZO WATOTO WA KIKE TANZANIA
54 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako