Baada ya mapumziko ya mwisho wa Juma ambapo pia ulikuwa ni mwisho wa Mwezi Februari, sasa tumeanza juma la kwanza la mwezi Machi. Nawatakia wote utafutaji mwema iwe shuleni, kazini au popote pale.
Mambo ya Kilimo kwanza yamefika mpaka Umasaini.
Uvuvi
Wafanyakazi wa Kiwandani wanapotenga muda wao ili kufanya usafi wa mazingira
BENKI YA STANBIC YACHANGIA MADAWATI MKOANI MBEYA
42 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako