Michezo kama hii ya watoto katika baadhi ya jamii zetu hasa waliotawaliwa na utandawazi wanaiona kama upuuzi. Lakini Michezo hii inakuza akili, inaburudisha, inaleta umoja na upendo kutokana na wanavyoshirikiana katika kucheza. Tujitahidi kuwapa moyo watoto wetu wapende michezo sio kutwa kukaa wakiangalia TV.
BENKI YA STANBIC YACHANGIA MADAWATI MKOANI MBEYA
42 minutes ago


No comments:
Post a Comment
Maoni yako