Moto umezuka katika Hostel ya Mabibo na kusababisha hali ya taharuki. Hostel hii inamilikiwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Jengo lililoshika moto lilikuwa linalotumiwa na baadhi wanafunzi wa kike wa Chuo hicho
Harakati za kuokoa kilichosalimika
BENKI YA STANBIC YACHANGIA MADAWATI MKOANI MBEYA
37 minutes ago

.jpg)
No comments:
Post a Comment
Maoni yako