Mwananchi huko Kahama Shinyanga akiwa amebeba bonge la barafu lililofanyika kutokana na mvua ya mawe ya barafu ilonyesha mkoani hapo na kuleta maafa makubwa. Pole kwa wafiwa wote, tunawaombea majeruhi wapatenafuu na wote walioathirika na maafa hayo wapate nafuu ya maisha baada ya maafa hayo
PINDA ATAKA HAKI MCHAKATO WA WAGOMBEA
9 hours ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako