Wananchi wa nchi ya Nigeria wamepiga kura jumamosi na jpili wiki ilopita kumchagua raisi wa nchi yao. Waliokuwa na uvutano mgumu ni Rais wa sasa Goodluck Jonathan na mpinzani wake Muhammadu Buhari. Mpaka sasa matokeo ya awali yanaonyesha Mhe. Muhammadu Buhari "ex soldier" anaongoza.
Mhe. Muhammadu Buhari anayechukua nafasi kubwa kushinda uchaguzi wa Uraisi Nigeria
BENKI YA STANBIC YACHANGIA MADAWATI MKOANI MBEYA
38 minutes ago

.jpg)
No comments:
Post a Comment
Maoni yako