Inapofika Ijumaa kwa baadadhi ya Shule zetu, wanafunzi wanaona bora ili wapate mapumziko nyumbani maana maisha ya shule kwao inakuwa ni mzigo. Je elimu waipatayo na mazingira wasomayo yanawapa furaha na hamu ya kuendelea kujifunza?
Friday 20 February 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
Maoni yako