Amiri Jeshi Mkuu wakati huo Hayati Mwl.Julius K.Nyerere akijadiliana jambo na wakuu wa Jeshi kuhusu uvamizi wa Nduli Idd Amin katika sehemu ya Tanzania huko Bukoba. Vita hivyo vilianza rasmi tarehe 30-Oct-1978 na iliisha rasmi tarehe 11-Apr-1979 (miezi mi-5, wiki 1 na siku 5)
KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO
22 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako